Swali: Je, magari ya kibinafsi yanatolewa zakaah?
Jibu: Hapana. Hakuna zakaah juu ya kila kitu ambacho mtu hukitumia mwenyewe. Isipokuwa tu mapambo ya dhahabu na fedha. Vinginevyo vitu binafsi havitolewi zakaah; ni mamoja ni gari, ngamia na mashine ya kilimo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Muislamu halazimiki kumtolea zakaah mtumwa wala farasi wake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1464) na Muslim (982).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/210)
- Imechapishwa: 08/05/2021
Swali: Je, magari ya kibinafsi yanatolewa zakaah?
Jibu: Hapana. Hakuna zakaah juu ya kila kitu ambacho mtu hukitumia mwenyewe. Isipokuwa tu mapambo ya dhahabu na fedha. Vinginevyo vitu binafsi havitolewi zakaah; ni mamoja ni gari, ngamia na mashine ya kilimo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Muislamu halazimiki kumtolea zakaah mtumwa wala farasi wake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1464) na Muslim (982).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/210)
Imechapishwa: 08/05/2021
https://firqatunnajia.com/zakaah-juu-ya-magari-binafsi/