Swali: Je, ufukara unaingia katika aina za majaribio ya Allaah?
Jibu: Yote ni majaribio utajiri na umasikini. Huyu anapewa mtihani wa furaha, mwingine anapewa mtihani wa yenye kumdhuru, mwingine anapewa mtihani wa uzima, mwingine anapewa mtihani wa maradhi, mwingine anapewa mtihani wa utajiri na mwingine anapewa mtihani wa umasikini, mwingine anapewa mtihani wa kazi, mwingine anapewa mtihani wa kunyimwa kazi. Yote hayo ni majaribio na mtihani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21608/هل-يدخل-الفقر-في-انواع-الابتلاء-من-الله
- Imechapishwa: 28/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)