Swali: Wudhuu´ wa mtu ni sahihi akiwa na mafuta mikononi mwake?
Jibu: Ndio, wudhuu´ wake ni sahihi kwa sharti mafuta haya yasiwe yanazuia maji kufika kwenye [ngozi]. Ikiwa mafuta haya ya kuganda yanazuia maji kufika, basi ni lazima kuyaondosha kwanza kabla ya kutawadha.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/147)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Wudhuu´ wa mtu ni sahihi akiwa na mafuta mikononi mwake?
Jibu: Ndio, wudhuu´ wake ni sahihi kwa sharti mafuta haya yasiwe yanazuia maji kufika kwenye [ngozi]. Ikiwa mafuta haya ya kuganda yanazuia maji kufika, basi ni lazima kuyaondosha kwanza kabla ya kutawadha.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/147)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/wudhuu-wa-mtu-aliye-na-mafuta-ya-mgando-ni-sahihi/