86 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu mtu ambaye amesahau kupaka masikio yake maji wakati wa kutawadha?
Jibu: Anapaswa kurudia, kwa sababu ameacha sehemu ya kichwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 53
- Imechapishwa: 14/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
86 – Nilimuuliza Shaykh kuhusu mtu ambaye amesahau kupaka masikio yake maji wakati wa kutawadha?
Jibu: Anapaswa kurudia, kwa sababu ameacha sehemu ya kichwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 53
Imechapishwa: 14/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/wudhuu-wa-aliyesahau-kupangusa-masikio/