Swali: Masuala ya kumkufurisha kafiri yanahusiana na yule kafiri wa asili peke yake au hata yule kafiri ambaye ameritadi pia?
Jibu: Ndio. Kukufurisha ni jambo lililoenea anaingia ndani yake kafiri yule wa asili na kafiri ambaye ameritadi. Wote hawa wanataamiliwa muamala mmoja. Isipokuwa tu ni kwamba yule ambaye ameritadi anatakiwa kuambiwa atubie. Akitubia ni sawa. Vinginevyo auawe[1]. Kuhusu yule ambaye ni kafiri tokea mwanzo inafaa kufunga naye mikataba na huku akaendelea kubaki juu ya ukafiri wake. Kuhusu ambaye ameritadi haitakiwi kumwacha kwa sababu ameharibu ´Aqiydah na ameihujumu baada ya kuitambua haki. Hivyo ni wajibu kumuua kwa sababu amekuwa ni kiungo kilichoharibika.
[1] Tazama 9898
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 95
- Imechapishwa: 21/09/2018
Swali: Masuala ya kumkufurisha kafiri yanahusiana na yule kafiri wa asili peke yake au hata yule kafiri ambaye ameritadi pia?
Jibu: Ndio. Kukufurisha ni jambo lililoenea anaingia ndani yake kafiri yule wa asili na kafiri ambaye ameritadi. Wote hawa wanataamiliwa muamala mmoja. Isipokuwa tu ni kwamba yule ambaye ameritadi anatakiwa kuambiwa atubie. Akitubia ni sawa. Vinginevyo auawe[1]. Kuhusu yule ambaye ni kafiri tokea mwanzo inafaa kufunga naye mikataba na huku akaendelea kubaki juu ya ukafiri wake. Kuhusu ambaye ameritadi haitakiwi kumwacha kwa sababu ameharibu ´Aqiydah na ameihujumu baada ya kuitambua haki. Hivyo ni wajibu kumuua kwa sababu amekuwa ni kiungo kilichoharibika.
[1] Tazama 9898
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 95
Imechapishwa: 21/09/2018
https://firqatunnajia.com/wote-wawili-wanakufurishwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)