Swali: Je, yule mwenye kutilia shaka ukafiri wa washirikina moyoni mwake na asitamke hilo kwa ulimi wake anakufuru? Ipi tofauti kati ya hili na mazungunzo ya kuizungumzisha nafsi?
Jibu: Shaka inakuwa moyoni. Akitilia shaka moyoni kuhusu washirikina kama ni makafiri kweli au si makafiri, anaritadi kwa hilo. Akitamka basi jambo lina ukhatari zaidi. Ama mazungumzo ya kuizungumzisha nafsi pasi na kutilia shaka hayadhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 95-96
- Imechapishwa: 21/09/2018
Swali: Je, yule mwenye kutilia shaka ukafiri wa washirikina moyoni mwake na asitamke hilo kwa ulimi wake anakufuru? Ipi tofauti kati ya hili na mazungunzo ya kuizungumzisha nafsi?
Jibu: Shaka inakuwa moyoni. Akitilia shaka moyoni kuhusu washirikina kama ni makafiri kweli au si makafiri, anaritadi kwa hilo. Akitamka basi jambo lina ukhatari zaidi. Ama mazungumzo ya kuizungumzisha nafsi pasi na kutilia shaka hayadhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 95-96
Imechapishwa: 21/09/2018
https://firqatunnajia.com/anakufuru-mwenye-kutilia-shaka-ukafiri-wa-washirikina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)