Swali: Kwa yule ambaye ana moja katika zile sifa nne za unafiki inafaa kusema juu yake:
“Wewe una moja katika sifa za unafiki”?
Jibu: Ndio. Ikiwa anasema uongo ni sawa kusema kumwambia kuwa ni sifa ya unafiki. Nayo si nyingine ni uongo na mfano wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
- Imechapishwa: 10/12/2016
Swali: Kwa yule ambaye ana moja katika zile sifa nne za unafiki inafaa kusema juu yake:
“Wewe una moja katika sifa za unafiki”?
Jibu: Ndio. Ikiwa anasema uongo ni sawa kusema kumwambia kuwa ni sifa ya unafiki. Nayo si nyingine ni uongo na mfano wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
Imechapishwa: 10/12/2016
https://firqatunnajia.com/wewe-una-sifa-ya-unafiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)