Weka juu ya suruwali nyepesi na yenye kubana nguo nyingine inayoifunika

Swali: Je, swalah inafaa kuvaa nguo nyepesi ikiwa haina kikoi kirefu wala suruwali?

Jibu: Haijuzu. Lazima kuwe na kifuniko kinachofunika sehemu kati ya kitovu na magoti. Hii inaweza kuwa suruwali nzito inayofunika au shati linalofunika. Lakini baadhi ya watu wanavaa suruwali nyepesi zinazoonesha mapaja, hili halijuzu. Kiasi cha kifuniko kinachokubalika ni cha kutosha kufunika kitovu hadi magoti. Ikiwa shati linafunika kikamilifu, inafaa badala ya suruwali.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2452/حكم-الصلاة-في-الثوب-الشفاف-وليس-تحته-سروال
  • Imechapishwa: 29/03/2026