Swali: Ni ipi nasaha yako kwa wazazi ambao wanaingiza fitina katika manyumba yao na kwa wasichana wao kama mfano wa Intaneti na chaneli ambazo sio za kidini?
Jibu: Wamche Allaah (´Azza wa Jall). Nasaha zetu ni wamche Allaah. Wataulizwa kwa yale yaliyomo ndani ya manyumba yao na kwa wale waliyomo ikiwa ni pamoja na watoto na wanawake. Wayasafishe manyumba yao na mambo haya. Wao wenyewe wasiyaingize na wala wasimruhusu yeyote kuyaingiza katika wanawake, wavulana na watoto. Wasimruhusu yeyote kuingiza mambo kama haya katika manyumba yao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan-14-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa wazazi ambao wanaingiza fitina katika manyumba yao na kwa wasichana wao kama mfano wa Intaneti na chaneli ambazo sio za kidini?
Jibu: Wamche Allaah (´Azza wa Jall). Nasaha zetu ni wamche Allaah. Wataulizwa kwa yale yaliyomo ndani ya manyumba yao na kwa wale waliyomo ikiwa ni pamoja na watoto na wanawake. Wayasafishe manyumba yao na mambo haya. Wao wenyewe wasiyaingize na wala wasimruhusu yeyote kuyaingiza katika wanawake, wavulana na watoto. Wasimruhusu yeyote kuingiza mambo kama haya katika manyumba yao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_fitan-14-08-1433.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/wazazi-wanaoingiza-fitina-katika-manyumba-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)