Watu wa kawaida wanavosema wakati wa kuchemua

Swali 679: Nilimuuliza Shaykh kuhusu maneno ya baadhi ya watu wa kawaida:

يهدينا ويهديكم الله

”Allaah atuongoze na akuongozeni.”

wakati wa kupiga chafya?

Jibu: Hapana, na maana yake ni kama kusema:

يرحمني ويرحمكم الله

”Allaah anirehemu na akurehemuni.”

na akakaripia jambo hilo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 243
  • Imechapishwa: 28/06/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´