Swali: Swawm inasihi mtu akifungiwa na watoto kwa mfano yuko na watoto watano na kila mmoja anamfungia baba yao siku sita?
Jibu: Hapana vibaya. Anaweza kufungiwa na watoto, ndugu zake au watu wengine. Mmoja akafunga siku sita, mwingine akafunga siku kumi na tano na kadhalika.
Swali: Vipi ikiwa wote watamfungia katika siku moja?
Jibu: Udhahiri ni kwamba hakudhuru. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anayekufa na anadaiwa swawm, basi atafungiwa na walii wake.”
Kila mmoja amefunga siku moja.
Swali: Je, wanapata dhambi wasipomlipia?
Jibu: Hapana, inapendeza. Kinachotambulika kati ya wanazuoni ni kwamba ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22709/حكم-صوم-اولاد-المتوفى-عنه-بتقسيمه-بينهم
- Imechapishwa: 31/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)