Swali: Mtoto kati ya miaka saba mpaka kumi anatakiwa kuamrishwa kuswali kila faradhi msikitini?
Jibu: Akiweza kufanya hili anatakiwa kuzowezwa kuswali msikitini. Ikiwa hakuna khatari na anaenda na msimamizi wake ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Mtoto kati ya miaka saba mpaka kumi anatakiwa kuamrishwa kuswali kila faradhi msikitini?
Jibu: Akiweza kufanya hili anatakiwa kuzowezwa kuswali msikitini. Ikiwa hakuna khatari na anaenda na msimamizi wake ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/watoto-waamrishwe-kuswali-swalah-zote-msikitini/