Swali: Imamu alisimama katika Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne. Maamuma baadhi yao wana shaka na wengine wana uhakika. Lakini wote wakasimama pamoja naye.
Jibu: Ambaye ana shaka atasimama. Ambaye ana uhakika anatakiwa kusema:
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
na asisimame.
Swali: Ambaye amefanya kwa kukusudia anatakiwa kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana, hakuna kinachomlazimu muda wa kuwa ni mjinga na hajui hukumu ya ki-Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21682/حكم-من-قام-مع-الامام-لخامسة-لشك-او-جهل
- Imechapishwa: 11/09/2022
Swali: Imamu alisimama katika Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne. Maamuma baadhi yao wana shaka na wengine wana uhakika. Lakini wote wakasimama pamoja naye.
Jibu: Ambaye ana shaka atasimama. Ambaye ana uhakika anatakiwa kusema:
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
سبحان الله
”Allaah ametakasika kutokamana na mapungufu.”
na asisimame.
Swali: Ambaye amefanya kwa kukusudia anatakiwa kuirudi swalah yake?
Jibu: Hapana, hakuna kinachomlazimu muda wa kuwa ni mjinga na hajui hukumu ya ki-Shari´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21682/حكم-من-قام-مع-الامام-لخامسة-لشك-او-جهل
Imechapishwa: 11/09/2022
https://firqatunnajia.com/waswaliji-wenye-kuona-imamu-amezidisha-na-wengine-hawaoni-hivo/