Swali: Unasamaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm?
Jibu: Ni kitabu chenye faida kwa wanachuoni. Ama kuhusu wanafunzi wasijishughulishe nacho ili wasije kutumbukia katika yale yanayokwenda kinyume kutokamana na jopo la wanachuoni wengi.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Unasamaje juu ya kitabu “al-Muhallaa” cha Ibn Hazm?
Jibu: Ni kitabu chenye faida kwa wanachuoni. Ama kuhusu wanafunzi wasijishughulishe nacho ili wasije kutumbukia katika yale yanayokwenda kinyume kutokamana na jopo la wanachuoni wengi.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Raabigh (6)
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/wasisome-kitabu-al-muhallaa-cha-ibn-hazm/