Swali: Je, atangulizwe imamu wa msikiti au atangulizwe yule aliyeacha anausiwa kuhusu swalah ya jeneza?
Jibu: Anatangulizwa yule aliyeacha anausiwa na maiti kwamba amswalie.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 11/08/2019
Swali: Je, atangulizwe imamu wa msikiti au atangulizwe yule aliyeacha anausiwa kuhusu swalah ya jeneza?
Jibu: Anatangulizwa yule aliyeacha anausiwa na maiti kwamba amswalie.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 11/08/2019
https://firqatunnajia.com/wasii-au-imamu-wa-msikiti/