Swali: Mabarabarani na kwenye taa za trafiki wako watu wanaokuja na kuomba zakaah. Je, inafaa kwangu kuwapa zakaah au ni lazima kwanza kuhakikisha kama kweli ni wahitaji?
Jibu: Ikiwa hujui kuwa ni matapeli na waongo, basi unatakiwa kuwapa. Unatakiwa kuzingatia ile hali yao ya nje:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Huyu ni mwombaji. Ikiwa hujui kuwa ni mwongo, basi unatakiwa kuwapa. Itakiwa katika dhimma yao.
[1] 51:19
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 27/04/2021
Swali: Mabarabarani na kwenye taa za trafiki wako watu wanaokuja na kuomba zakaah. Je, inafaa kwangu kuwapa zakaah au ni lazima kwanza kuhakikisha kama kweli ni wahitaji?
Jibu: Ikiwa hujui kuwa ni matapeli na waongo, basi unatakiwa kuwapa. Unatakiwa kuzingatia ile hali yao ya nje:
وَفِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
“Katika mali zao kuna haki maalum; kwa mwenye kuomba na asiyeomba.”[1]
Huyu ni mwombaji. Ikiwa hujui kuwa ni mwongo, basi unatakiwa kuwapa. Itakiwa katika dhimma yao.
[1] 51:19
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 27/04/2021
https://firqatunnajia.com/waombaji-kwenye-taa-za-trafiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)