Swali: Ni ipi hukumu ya kuajiri wanawake kuja kupiga dufu?
Jibu: Katika kazi za mkono si jambo zuri. Kupiga dufu katika mnasaba wa ndoa ni Sunnah kwa ajili ya kutangaza ndoa. Haitakikani mtu kufanya hii ndio kazi yake ya pato lake. Kutangaza Sunnah kunakusudiwa ndani yake mtu kupata ujira na hakukusudiwi tamaa ya kidunia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14775
- Imechapishwa: 11/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuajiri wanawake kuja kupiga dufu?
Jibu: Katika kazi za mkono si jambo zuri. Kupiga dufu katika mnasaba wa ndoa ni Sunnah kwa ajili ya kutangaza ndoa. Haitakikani mtu kufanya hii ndio kazi yake ya pato lake. Kutangaza Sunnah kunakusudiwa ndani yake mtu kupata ujira na hakukusudiwi tamaa ya kidunia.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14775
Imechapishwa: 11/09/2020
https://firqatunnajia.com/wanawake-wanaofanya-kupiga-dufu-harusini-ndio-kazi-ya-pato-lao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)