Swali: Mwalimu ambaye ni kipofu katika moja ya shule za wasichana wakati mwingine wanafunzi hao wa kike au waalimu wa kike wanakuwa wenye kujitia manukato. Ni ipi hukumu ya hilo kwa sababu mwalimu huyo huhisi kwa pua harufu yao?
Jibu: Wanatakiwa kuacha kujitia manukato. Anatakiwa kuzungumza nao ikiwa wanachanganyikana na wanamme. Ni mamoja wakiwa waalimu hao wakike au wasiokuwa hao. Wanalazimika kuachana na jambo hilo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21920/حكم-تعطر-النساء-عند-المدرس-الاعمى
- Imechapishwa: 01/10/2022
Swali: Mwalimu ambaye ni kipofu katika moja ya shule za wasichana wakati mwingine wanafunzi hao wa kike au waalimu wa kike wanakuwa wenye kujitia manukato. Ni ipi hukumu ya hilo kwa sababu mwalimu huyo huhisi kwa pua harufu yao?
Jibu: Wanatakiwa kuacha kujitia manukato. Anatakiwa kuzungumza nao ikiwa wanachanganyikana na wanamme. Ni mamoja wakiwa waalimu hao wakike au wasiokuwa hao. Wanalazimika kuachana na jambo hilo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21920/حكم-تعطر-النساء-عند-المدرس-الاعمى
Imechapishwa: 01/10/2022
https://firqatunnajia.com/wanawake-kujitia-manukato-mbele-ya-mwalimu-wa-kiume-kipofu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)