Swali: Kuna wajihi gani mwanamke kufananishwa na mvulana anayekaribia baleghe (الأمْرَد)?
Jibu: Kwa sababu mwanamke hutamaniwa na huyo mvulana hutamaniwa. Baadhi ya watu wanaweza kuwatamani zaidi wavulana wanaokurubia baleghe. Mfano wa watu wa Luutw. Watu wa Luutw waliwaacha wanawake na wakawaelekea vijana wanaokaribia baleghe mpaka Allaah akawaadhibu kwa ardhi kudidimia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21917/ما-حكم-النظر-الى-الامرد
- Imechapishwa: 01/10/2022
Swali: Kuna wajihi gani mwanamke kufananishwa na mvulana anayekaribia baleghe (الأمْرَد)?
Jibu: Kwa sababu mwanamke hutamaniwa na huyo mvulana hutamaniwa. Baadhi ya watu wanaweza kuwatamani zaidi wavulana wanaokurubia baleghe. Mfano wa watu wa Luutw. Watu wa Luutw waliwaacha wanawake na wakawaelekea vijana wanaokaribia baleghe mpaka Allaah akawaadhibu kwa ardhi kudidimia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21917/ما-حكم-النظر-الى-الامرد
Imechapishwa: 01/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuwaangalia-vijana-wanaokaribia-baleghe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)