Swali: Je, kuna kitabu maalum katika kufasiri ndoto?
Jibu: Vipo baadhi ya vitabu. Mambo kama haya ya ndoto yanawastahikia wanazuoni na watu wenye utambuzi ambao wanazitambua Hadiyth na yale yanayofahamishwa na Qur-aan. Kufasiri ndoto inakuwa kwa mujibu wa elimu.
Swali: Wanavitegemea?
Jibu: Sio katika hali zote. Wanategemea ile elimu walionayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23379/ما-الذي-يعتمد-عليه-في-تفسير-الروى
- Imechapishwa: 06/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)