Swali: Sisi ni vijana tunaitwa katika wapendwa na al-Ikhwaan. Ni ipi nasaha yako?
Jibu:
وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّـهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا |
”Na shikamaneni kwa kamba ya Allaah nyote pamoja, wala msifarikiane.” (03:103) |
Nchi hii kuna kundi limoja. Liko juu ya Tawhiyd na Dini ya sahihi. Imekuwa hivo kwa kizazi baada ya kizazi. Kwa nini tufungue njia ya makundi na madhehebu? Kwa nini tufarikiane?
Kwa nini watu hawa wanajitenga na sisi na wanajiita kwa jina maalum ikiwa kama kweli ni wema? Hatukubali mfarakano. Hatukubali majina mengi. Sisi ni kundi limoja:
هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمِينَ |
“Yeye (Allaah) Ndiye Aliyekuiteni Waislamu.” (22:78) |
Hatukubali mgawanyiko huu. Huu ndio msingi wa kuufarikanisha Ummah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/ls–14330126.MP3
- Imechapishwa: 22/04/2015
Swali: Sisi ni vijana tunaitwa katika wapendwa na al-Ikhwaan. Ni ipi nasaha yako?
Jibu:
وَاعْتَصِمُوا بِحَبْلِ اللَّـهِ جَمِيعًا وَلَا تَفَرَّقُوا
”Na shikamaneni kwa kamba ya Allaah nyote pamoja, wala msifarikiane.” (03:103)
Nchi hii kuna kundi limoja. Liko juu ya Tawhiyd na Dini ya sahihi. Imekuwa hivo kwa kizazi baada ya kizazi. Kwa nini tufungue njia ya makundi na madhehebu? Kwa nini tufarikiane?
Kwa nini watu hawa wanajitenga na sisi na wanajiita kwa jina maalum ikiwa kama kweli ni wema? Hatukubali mfarakano. Hatukubali majina mengi. Sisi ni kundi limoja:
هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمِينَ
“Yeye (Allaah) Ndiye Aliyekuiteni Waislamu.” (22:78)
Hatukubali mgawanyiko huu. Huu ndio msingi wa kuufarikanisha Ummah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/ls–14330126.MP3
Imechapishwa: 22/04/2015
https://firqatunnajia.com/wanataka-tujiunge-na-jamaaat-ut-tabliygh-na-al-ikhwaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)