Swali: Nimesikia kuwa zama za mwisho watu watapigana vita kwa upanga na farasi. Hili ni sahihi?
Jibu: Ndio. Zama za mwisho vifaa vya leo vitasita. Watu watarudi kwenye kupanda tena farasi na kupigana vita na mikuki na upanga.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340106.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Nimesikia kuwa zama za mwisho watu watapigana vita kwa upanga na farasi. Hili ni sahihi?
Jibu: Ndio. Zama za mwisho vifaa vya leo vitasita. Watu watarudi kwenye kupanda tena farasi na kupigana vita na mikuki na upanga.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340106.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/wanarudi-kwenye-upanga-mikuki-na-farasi__trashed/