Swali: Masikini wameshirikiana katika kchinjwa cha Udhhiyah. Je, wote wanatakiwa kujizuia kukata nywele zao?
Jibu: Sijui msingi wa hilo. Isipokuwa ikiwa ni wakazi wa nyumba moja hapana vibaya.
Swali: Wanaishi katika nyumba moja, lakini sio ndugu.
Jibu: Hapana vibaya ikiwa ni wakazi wa nyumba moja. Wote wajizuie kukata nywele na kucha au msafara mmoja kama wanaoishi nyumba moja.
Swali: Je, ni sharti wawe wanatokana na familia moja?
Jibu: Hapo ni pale ambapo wanaishi katika nyumba moja hata kama sio wanandugu, kwa sababu wamekuwa ni watu wa nyumba moja. Hadiyth inasema:
“Kichinjwa kimoja kinamtosha mtu yeye na watu wa nyumbani kwake.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21838/حكم-اخذ-الشعر-للمشتركين-في-اضحية
- Imechapishwa: 08/06/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)