Kwa kuwa kuko ambao wanasema kwamba Akhbaar-ul-Ahaad, upokezi wa mtu mmoja hautendewi kazi katika mambo ya ´Aqiydah isipokuwa unatendewa kazi katika mambo madogo madogo, kwa kuwa ni dalili zinazotia dhana. Tunasema kwamba zinawatia dhana nyinyi, ama Ahl-ul-Iymaan haziwatii dhana isipokuwa zinafidisha yakini maadamu zimethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi zinafidisha elimu. Hivyo haziweki dhana. Zinatendewa kazi katika mambo ya ´Aqiydah, mu´amala na mengineyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Haaiyyah, uk. 61
- Imechapishwa: 26/08/2020
Kwa kuwa kuko ambao wanasema kwamba Akhbaar-ul-Ahaad, upokezi wa mtu mmoja hautendewi kazi katika mambo ya ´Aqiydah isipokuwa unatendewa kazi katika mambo madogo madogo, kwa kuwa ni dalili zinazotia dhana. Tunasema kwamba zinawatia dhana nyinyi, ama Ahl-ul-Iymaan haziwatii dhana isipokuwa zinafidisha yakini maadamu zimethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi zinafidisha elimu. Hivyo haziweki dhana. Zinatendewa kazi katika mambo ya ´Aqiydah, mu´amala na mengineyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Haaiyyah, uk. 61
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/wanaopinga-upokezi-wa-mtu-mmoja-katika-mambo-ya-aqiydah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)