Wale ambao wanaomba dhidi ya watawala wa Waislamu sio katika madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na kadhalika wale wasiowaombea. Hii ni alama ya kwamba yuko na upindaji katika ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
Baadhi ya watu wanawakataza wale wenye kuwaombea watawala katika Khutbah na wanasema kuwa huku ni kuwapaka mafuta na unafiki. Ametakasika Allaah! Haya ndio madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Bali katika Sunnah ni kuwaombea du´aa watawala. Kwa sababu wakinyooka na watu pia watanyooka. Wewe unachotakiwa ni kuwaombea wema na uongofu na kheri hata kama wana mabaya. Lakini vilevile wana mazuri. Maadamu bado ni waislamu wana kheri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-it-Twahaawiyyah, Uk. 172
- Imechapishwa: 05/09/2020
Wale ambao wanaomba dhidi ya watawala wa Waislamu sio katika madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na kadhalika wale wasiowaombea. Hii ni alama ya kwamba yuko na upindaji katika ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah.
Baadhi ya watu wanawakataza wale wenye kuwaombea watawala katika Khutbah na wanasema kuwa huku ni kuwapaka mafuta na unafiki. Ametakasika Allaah! Haya ndio madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Bali katika Sunnah ni kuwaombea du´aa watawala. Kwa sababu wakinyooka na watu pia watanyooka. Wewe unachotakiwa ni kuwaombea wema na uongofu na kheri hata kama wana mabaya. Lakini vilevile wana mazuri. Maadamu bado ni waislamu wana kheri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-it-Twahaawiyyah, Uk. 172
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/wanaofanya-uasi-dhidi-ya-watawala-wa-kiislamu-ni-katika-ahl-us-sunnah/