Swali 237: Je, inajuzu kuswali Rak´ah mbili wakati ninapoingia msikitini na Khatwiyb anakhutubu siku ya ijumaa? Kwa sababu watu wengi wananikataza kuswali wakati Khatwiyb anakhutubu?
Jibu: Mimi nakutajia Hadiyth ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sababu masuala haya wanachuoni wa Hadiyth wa Ahnaaf na wengineo wametofautiana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anapoingia mmoja wenu msikitini basi asikae mpaka kwanza aswali Rak´ah mbili.”
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kama ilivyotajwa katika “as-Swahiyh” kupitia kwa Jaabir ambapo alikuwa anatoa Khutbah juu ya mimbari siku ya ijumaa na akaingia mtu akawa ameketi. Akasema: “Je, umeswali Rak´ah mbili?” Akajibu: “Hapana”. Akasema: “Simama uswali Rak´ah mbili.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 458
- Imechapishwa: 01/11/2019
Swali 237: Je, inajuzu kuswali Rak´ah mbili wakati ninapoingia msikitini na Khatwiyb anakhutubu siku ya ijumaa? Kwa sababu watu wengi wananikataza kuswali wakati Khatwiyb anakhutubu?
Jibu: Mimi nakutajia Hadiyth ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sababu masuala haya wanachuoni wa Hadiyth wa Ahnaaf na wengineo wametofautiana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Anapoingia mmoja wenu msikitini basi asikae mpaka kwanza aswali Rak´ah mbili.”
Vilevile Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kama ilivyotajwa katika “as-Swahiyh” kupitia kwa Jaabir ambapo alikuwa anatoa Khutbah juu ya mimbari siku ya ijumaa na akaingia mtu akawa ameketi. Akasema: “Je, umeswali Rak´ah mbili?” Akajibu: “Hapana”. Akasema: “Simama uswali Rak´ah mbili.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 458
Imechapishwa: 01/11/2019
https://firqatunnajia.com/wanamkataza-kuswali-rakah-mbili-wakati-imamu-anatoa-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)