Swali: Kuna mtu anaeneza maovu ya mtawala wa waislamu kwa hoja eti anabainisha Shari´ah ya Allaah juu ya hilo na kwamba anazungumza neno la haki. Ni ipi hukumu ya kitendo kama hichi?
Jibu: Hivi ndivo wafanyavyo Khawaarij. Haijuzu kufanya hivi. Mtawala akifanya kosa basi unatakiwa kumnasihi kwa siri. Usiyaonyeshe haya kwa watu. Mnasihi kwa siri. Akikubali ni vizuri. Akikataa utakuwa umetekeleza wajibu wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2018
Swali: Kuna mtu anaeneza maovu ya mtawala wa waislamu kwa hoja eti anabainisha Shari´ah ya Allaah juu ya hilo na kwamba anazungumza neno la haki. Ni ipi hukumu ya kitendo kama hichi?
Jibu: Hivi ndivo wafanyavyo Khawaarij. Haijuzu kufanya hivi. Mtawala akifanya kosa basi unatakiwa kumnasihi kwa siri. Usiyaonyeshe haya kwa watu. Mnasihi kwa siri. Akikubali ni vizuri. Akikataa utakuwa umetekeleza wajibu wako.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 10/09/2018
https://firqatunnajia.com/wanaeneza-maovu-ya-mtawala/