Swali: Kuna mtu anaeneza maovu ya mtawala wa waislamu kwa hoja eti anabainisha Shari´ah ya Allaah juu ya hilo na kwamba anazungumza neno la haki. Ni ipi hukumu ya kitendo kama hichi?
Jibu: Hivi ndivo wafanyavyo Khawaarij. Haijuzu kufanya hivi. Mtawala akifanya kosa basi unatakiwa kumnasihi kwa siri. Usiyaonyeshe haya kwa watu. Mnasihi kwa siri. Akikubali ni vizuri. Akikataa utakuwa umetekeleza wajibu wako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)