Swali: Kuna imamu Ufaransa anaruhusu kupeana mikono na wanawake wa idara kwa sababu eti anachelea matatizo kama kwa mfano kufungwa kwa msikiti na mengineyo. Kwa ajili hiyo anapeana nao mikono. Je, kitendo chake hichi kinakubalika Kishari´ah?
Jibu: Hapana, hakikubaliki Kishari´ah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwahi kupeana mikono na wanawake hata siku moja. Alikuwa akiwabai wanawake kwa maneno. Anawabai wanaume kwa kupeana nao mikono. Kuhusu wanawake anawabai kwa maneno na wala hapeani nao mikono.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2018
Swali: Kuna imamu Ufaransa anaruhusu kupeana mikono na wanawake wa idara kwa sababu eti anachelea matatizo kama kwa mfano kufungwa kwa msikiti na mengineyo. Kwa ajili hiyo anapeana nao mikono. Je, kitendo chake hichi kinakubalika Kishari´ah?
Jibu: Hapana, hakikubaliki Kishari´ah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwahi kupeana mikono na wanawake hata siku moja. Alikuwa akiwabai wanawake kwa maneno. Anawabai wanaume kwa kupeana nao mikono. Kuhusu wanawake anawabai kwa maneno na wala hapeani nao mikono.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 10/09/2018
https://firqatunnajia.com/ili-msikiti-usije-kufungwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)