Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza wakati Khutbah inatolewa kwa nisba ya mtu ambaye hajaingia Msikitini bali yuko njiani anaelekea Msikitini? 46
Jibu: Ikiwa anamsikia Khatwiyb asizungumze. Ama ikiwa hamsikii Khatwiyb hakuna neno (akazungumza).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza wakati Khutbah inatolewa kwa nisba ya mtu ambaye hajaingia Msikitini bali yuko njiani anaelekea Msikitini? 46
Jibu: Ikiwa anamsikia Khatwiyb asizungumze. Ama ikiwa hamsikii Khatwiyb hakuna neno (akazungumza).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/walionje-kuzungumza-wakati-wa-khutbah/