Swali: Wako watu ambao wanawapenda ndugu zao makafiri kutokana na ule udugu ulio kati yao na anawapendea waongoke. Je, katika kitendo chake hicho kuna dhambi?
Jibu: Asiwapende:
لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ
”Hutowapata watu wanaomuamini Allaah na siku ya Mwisho kwamba wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na Mtume Wake, ijapo wakiwa ni baba zao… “(al-Mujaadilah 58:22)
Ama kuhusu kuwatendea wema na kuungana nao ni jambo linalofaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (03) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/03.mp3
- Imechapishwa: 24/11/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Ni vipi utampenda adui wa Allaah?
Swali: Je, inajuzu kumpenda kafiri kwa ajili ya udugu wake na sio kwa ajili ya dini yake? Jibu: Kafiri hapendwi kwa sababu ni adui wa Allaah na vilevile Allaah ni adui yake Anamchukia. Vipi utampenda adui wa Allaah? Vipi utampenda mtu ambaye Allaah (´Azza wa Jalla) anamchukia: لَا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ…
In "Kupenda na kuchukia kwa ajili ya Allaah"
Kumsusa mtu mwenye kuacha swalah
Swali: Je, inajuzu kumsusa mtu asiyeswali katu hata kama atakuwa ni kaka yangu? Jibu: Ndio. Yule ambaye anakusudia kuacha swalah, huyu sio muislamu: لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ “Hutopata watu wanaomuamini Allaah na siku ya Mwisho kwamba…
In "al-Fawzaan kuhusu hukumu ya swalah"
Wazazi makafiri wanachukiwa kwa ajili ya Allaah
Swali: Je, muislamu ataadhibiwa akiwa na mapenzi ya kimaumbile kwa wazazi wake makafiri au mke wake wa Ahl-ul-Kitaab? Jibu: Haifai kumpenda kafiri hata kama itakuwa ni mama yake, baba yake au kaka yake. Amesema (Ta´ala): لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ…
In "Kuwatendea wema wazazi"