Katika istilahi walii kwa mujibu wa Ahl-us-Sunnah ni kila ambaye ni muumini na mwenye kumcha Allaah. Kwa msemo mwingine walii ni kila yule ambaye yuko na imani na uchaji Allaah.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 509
- Imechapishwa: 10/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)