Katika istilahi walii kwa mujibu wa Ahl-us-Sunnah ni kila ambaye ni muumini na mwenye kumcha Allaah. Kwa msemo mwingine walii ni kila yule ambaye yuko na imani na uchaji Allaah.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 509
- Imechapishwa: 10/05/2020
Katika istilahi walii kwa mujibu wa Ahl-us-Sunnah ni kila ambaye ni muumini na mwenye kumcha Allaah. Kwa msemo mwingine walii ni kila yule ambaye yuko na imani na uchaji Allaah.
Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 509
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/walii-kwa-mujibu-wa-ahl-us-sunnah/