Suufiyyah walioputuka mipaka wametumia dalili kwa Hadiyth hii – yaani Hadiyth ya 38 an-Nawawiyyah – juu ya masuala ya Allaah kukita katika kila kiumbe. Kuna upokezi uliyoundwa uliyozidishwa katika Hadiyth hii baada ya neno:
“… mikono yake ambayo anakamatia, miguu yake anayoendea”
Wakaongeza:
“Mpaka anakiambiwa kitu: “Kuwa!” na kinakuwa”.”
Upokezi huu unapatikana katika baadhi ya vitabu vya Hadiyth vilivyoandikwa. Lakini hata hivyo ni upokezi uliyoundwa.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 511
- Imechapishwa: 10/05/2020
Suufiyyah walioputuka mipaka wametumia dalili kwa Hadiyth hii – yaani Hadiyth ya 38 an-Nawawiyyah – juu ya masuala ya Allaah kukita katika kila kiumbe. Kuna upokezi uliyoundwa uliyozidishwa katika Hadiyth hii baada ya neno:
“… mikono yake ambayo anakamatia, miguu yake anayoendea”
Wakaongeza:
“Mpaka anakiambiwa kitu: “Kuwa!” na kinakuwa”.”
Upokezi huu unapatikana katika baadhi ya vitabu vya Hadiyth vilivyoandikwa. Lakini hata hivyo ni upokezi uliyoundwa.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 511
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/dalili-inayotumiwa-na-suufiyyah-juu-ya-ukitaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)