1Bwana ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako?
Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?
2Ni yule aendaye pasipo mawaa, atendaye yaliyo haki,
asemaye kweli toka moyoni mwake,
3Na hana masingizio ulimini mwake,
asiyemtenda jirani yake vibaya,
na asiyemsingizia mwenzake,
4 Ambaye humdharau mtu mbaya,
lakini huwaheshimu wale wamwogopaoa Bwana,
yule atunzaye kiapo chake hata kama anaumia.
5 Yeye akopeshaye fedha yake bila ribaa,
na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.
Mtu afanyaye haya kamwe hatatikisika.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Zaburi 15:01
- Imechapishwa: 16/01/2020
1Bwana ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako?
Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?
2Ni yule aendaye pasipo mawaa, atendaye yaliyo haki,
asemaye kweli toka moyoni mwake,
3Na hana masingizio ulimini mwake,
asiyemtenda jirani yake vibaya,
na asiyemsingizia mwenzake,
4 Ambaye humdharau mtu mbaya,
lakini huwaheshimu wale wamwogopaoa Bwana,
yule atunzaye kiapo chake hata kama anaumia.
5 Yeye akopeshaye fedha yake bila ribaa,
na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.
Mtu afanyaye haya kamwe hatatikisika.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Zaburi 15:01
Imechapishwa: 16/01/2020
https://firqatunnajia.com/wale-wanaochukia-na-kupenda-kwa-ajili-ya-mola/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)