3 Kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima,
nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
wala siandamani na wanafiki,
5 ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Zaburi 26:03
- Imechapishwa: 16/01/2020
3 Kwa maana upendo wako uko mbele yangu daima,
nami natembea siku zote katika kweli yako.
4 Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
wala siandamani na wanafiki,
5 ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Zaburi 26:03
Imechapishwa: 16/01/2020
https://firqatunnajia.com/wabaya-wanapaswa-kuchukiwa-katika-biblia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)