Swali: Ikiwa mwanaume ameoa wake watatu. Kila mke anamgawia usiku mmoja ambapo usiku wa nne anamgawia mmoja katika wao. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi kwa sababu anawapuuza wale wake wengine. Wagawanye usiku huo wa nne. Afanye hivo kwa ajili ya uadilifu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 28/07/2023