Swali: Mtu ambaye hakunyoa kichwa chake moja kwa moja baada ya kumliza ´Umrah. Kuna kinachomlazimu?
Jibu: Hatoki katika ´Ihraam isipokuwa baada ya kunyoa kichwa chake. Si lazima akinyoa moja kwa moja tu baada ya kumaliza ´Umrah. Ni sawa vilevile akanyoa baada ya masaa kadhaa au siku kadhaa baadaye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
- Imechapishwa: 10/07/2020
Swali: Mtu ambaye hakunyoa kichwa chake moja kwa moja baada ya kumliza ´Umrah. Kuna kinachomlazimu?
Jibu: Hatoki katika ´Ihraam isipokuwa baada ya kunyoa kichwa chake. Si lazima akinyoa moja kwa moja tu baada ya kumaliza ´Umrah. Ni sawa vilevile akanyoa baada ya masaa kadhaa au siku kadhaa baadaye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
Imechapishwa: 10/07/2020
https://firqatunnajia.com/wakati-wa-kunyoa-kichwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)