Swali: Afanye nini ikiwa mtu ana mkojo mwilini mwake lakini hajui ulipo?
Jibu: Atajitahidi kuosha pale anapodhani umeingia. Atajitahidi ni wapi ambapo mkojo unaweza kuwa mwilini mwake au kwenye nguo zake na aoshe sehemu hiyo. Ikiwa hawezi hilo, basi aoshwe nguo nzima.
Swali: Je, inatosha kunyunyizia maji?
Jibu: Hapana, kama ni mkojo haitosh kurashia kwa maji. Kunyunyuza maji kunafaa wakati inapokuwa ni madhiy na mkojo wa mtoto wa kiume ambaye hajaanza kula chakula cha kawaida.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24712/حكم-من-اصابه-بول-لا-يعلم-موضعه
- Imechapishwa: 30/11/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket