Swali: Je, mtu inafaa kwa mtu kuitikia adhaana akiwa chooni?
Jibu: Hapana, asimuitikie.
Swali: Je, inafaa kumuitikia baada ya kutoka chooni?
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa anaweza kulipa, lakini hakuna dalili ya wazi ya hilo.
Swali: Vipi ikiwa ataitikia adhaana kwa moyo wake tu?
Jibu: Kujibu kwa moyo hakuna tatizo, popote pale alipo. Hata hivyo haizingatiwi kuwa ni kuitikia adhaana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24709/هل-يقضي-ترديد-الاذان-من-سمعه-في-الخلاء
- Imechapishwa: 30/11/2024
Swali: Je, mtu inafaa kwa mtu kuitikia adhaana akiwa chooni?
Jibu: Hapana, asimuitikie.
Swali: Je, inafaa kumuitikia baada ya kutoka chooni?
Jibu: Baadhi ya wanazuoni wanaona kuwa anaweza kulipa, lakini hakuna dalili ya wazi ya hilo.
Swali: Vipi ikiwa ataitikia adhaana kwa moyo wake tu?
Jibu: Kujibu kwa moyo hakuna tatizo, popote pale alipo. Hata hivyo haizingatiwi kuwa ni kuitikia adhaana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24709/هل-يقضي-ترديد-الاذان-من-سمعه-في-الخلاء
Imechapishwa: 30/11/2024
https://firqatunnajia.com/kuitikia-adhaana-mtu-anapotoka-chooni/