Swali: Nini maana ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hakika si venginevyo kilichowaangamiza waliokuwa kabla yenu ni maswali yao mengi.”?
Jibu: Wanachupa mpaka. Walikuwa wanawauliza Mitume wao hali ya kujikakama kisha wanatofautiana nao. Mtu haulizi isipokuwa wakati anapohitajia haja ya kielimu. Ama kuchupa mpaka haifai. Kwa ajili hiyo amesema (Jalla wa ´Alaa):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَسْأَلُوا عَنْ أَشْيَاءَ إِن تُبْدَ لَكُمْ تَسُؤْكُمْ
“Enyi mlioamini! Msiulizie mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni.” (05:101)
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21506/معنى-انما-اهلك-من-كان-قبلكم-كثرة-سوالهم
- Imechapishwa: 24/08/2022
Swali: Nini maana ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Hakika si venginevyo kilichowaangamiza waliokuwa kabla yenu ni maswali yao mengi.”?
Jibu: Wanachupa mpaka. Walikuwa wanawauliza Mitume wao hali ya kujikakama kisha wanatofautiana nao. Mtu haulizi isipokuwa wakati anapohitajia haja ya kielimu. Ama kuchupa mpaka haifai. Kwa ajili hiyo amesema (Jalla wa ´Alaa):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَسْأَلُوا عَنْ أَشْيَاءَ إِن تُبْدَ لَكُمْ تَسُؤْكُمْ
“Enyi mlioamini! Msiulizie mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni.” (05:101)
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21506/معنى-انما-اهلك-من-كان-قبلكم-كثرة-سوالهم
Imechapishwa: 24/08/2022
https://firqatunnajia.com/wakati-unapotakiwa-kuuliza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)