Swali: Saa ya kuitikiwa du´aa ni pale imamu anapopanda mimbari?
Jibu: Hadiyth juu ya mada hii zitakuja katika somo la mwisho – Allaah akitaka. Pale imamu anapoketi juu ya mimbari ni wakati wa kuitikiwa. Akiomba du´aa ndani ya swalah yake au baina ya Khutbah mbili ni miongoni mwa sababu za kuitikiwa du´aa. Vivyo hivyo baada ya alasiri mpaka wakati wa kuzama kwa jua kwa ambaye atakaa akisubiri swalah ni miongoni mwa sababu za kuitikiwa du´aa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22600/متى-ساعة-الاستجابة-في-يوم-الجمعة
- Imechapishwa: 08/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)