Swali: Vipi kuhusu mwenye kusema kuwa ni Bid´ah kuswali Dhuhaa kila siku?
Jibu: Hakuna yeyote anayesema hivo. Lakini wako wanaosema kuwa kuiacha baadhi ya nyakati ndio bora kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuiswali kila siku. Hata hivyo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameweka Shari´ah ya kuiswali daima na akasisitiza hilo kwa maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22597/حكم-القول-ببدعية-المواظبة-على-الضحى
- Imechapishwa: 08/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)