Swali: Je, wanakufuru wale wanaosema kuwa Allaah yuko kila mahali?
Jibu: Ndio, ndio. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Haijalishi kitu hata kama wanasema kuwa Allaah yuko kila mahali kutokana na ujinga?
Jibu: Ndio. Hata hivyo wazinduliwe na kufunzwa. Mjinga anatakiwa kujifunza. Anatakiwa kubainishiwa kuwa ´Aqiydah hiyo ni ukafiri na ujinga na kwamba analazimika kutubia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 126-127
- Imechapishwa: 13/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)