Swali: Ambaye alikuwa na mazowea ya kufunga kwa mfano jumatatu na alkhamisi na ikaafikiana na nusu Sha´baan aendelee kufunga?
Jibu: Ndio, afunge masiku meupe, jumatatu na alkhamisi katika Sha´baan na miezi mingine. Hakuna neno juu yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 142
- Imechapishwa: 13/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)