Swali: Je, inajuzu kuwalaani watu wa Bid´ah na Khawaarij?
Jibu: Kuna faida gani? Hakuna faida yoyote. Lakini hata hivyo unatakiwa kukataza madhehebu ya Khawaarij na kubainisha ufisadi wake. Kuhusu kulaani hakufaidishi kitu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)