Swali: Yale yote ambayo Allaah aliwateremshia Mitume Yake ilikuwa kupitia ukatikati?
Jibu: Ndio, kupitia ukatikati wa Jibriyl (´alayhis-Salaam) ambaye amepewa kazi ya Wahy. Isipokuwa baadhi ya mambo hakika Allaah anaweza kumpa ilhamu Mtume Wake pasi na ukatikati wa Jibriyl.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18385
- Imechapishwa: 02/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)