Wanachuoni wamesema lau mtu atawaambia watu wawili “Nitazamieni kama alfajiri imeshaingia”. Mmoja wao akasema imeshaingia na mwingine akasema haijaingia, wamesema achukue maoni ya huyu wa pili. Kwa kuwa msingi ni kutoingia alfajiri na vilevile ni lazima alfajiri ibainike.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda “Liqaa´aatu Ramadhwaaniyyah”, sehemu ya 01
- Imechapishwa: 23/09/2020
Wanachuoni wamesema lau mtu atawaambia watu wawili “Nitazamieni kama alfajiri imeshaingia”. Mmoja wao akasema imeshaingia na mwingine akasema haijaingia, wamesema achukue maoni ya huyu wa pili. Kwa kuwa msingi ni kutoingia alfajiri na vilevile ni lazima alfajiri ibainike.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda “Liqaa´aatu Ramadhwaaniyyah”, sehemu ya 01
Imechapishwa: 23/09/2020
https://firqatunnajia.com/wafungaji-kutofautiana-katika-kubainika-kwa-alfajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)