Wafungaji kutofautiana katika kubainika kwa alfajiri

Wanachuoni wamesema lau mtu atawaambia watu wawili “Nitazamieni kama alfajiri imeshaingia”. Mmoja wao akasema imeshaingia na mwingine akasema haijaingia, wamesema achukue maoni ya huyu wa pili. Kwa kuwa msingi ni kutoingia alfajiri na vilevile ni lazima alfajiri ibainike.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Kanda “Liqaa´aatu Ramadhwaaniyyah”, sehemu ya 01
  • Imechapishwa: 23/09/2020