Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuwakemea baadhi ya wafanyikazi wanaoingia nchini wasiokuwa waislamu wakati wanapovaa dhahabu na kuzionyesha shingoni mwao au masikioni mwao?
Jibu: Wakemewe. Ni lazima kwao kulazimiana na mila za nchi na desturi za Kiislamu. Ni kama ambavo haifai kwao kuvuta sigara au kula mchana wa Ramadhaan mbele za watu. Lakini ndani ya nyumba zao na maeneo yao ya kibinafsi inafaa kwao kufanya hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 02/10/2021
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuwakemea baadhi ya wafanyikazi wanaoingia nchini wasiokuwa waislamu wakati wanapovaa dhahabu na kuzionyesha shingoni mwao au masikioni mwao?
Jibu: Wakemewe. Ni lazima kwao kulazimiana na mila za nchi na desturi za Kiislamu. Ni kama ambavo haifai kwao kuvuta sigara au kula mchana wa Ramadhaan mbele za watu. Lakini ndani ya nyumba zao na maeneo yao ya kibinafsi inafaa kwao kufanya hivo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 02/10/2021
https://firqatunnajia.com/wafanyikazi-makafiri-wanaodhihirisha-maasi-katika-nchi-za-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)