Swali: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ameamrisha kuunga kizazi. Nina maami na mashangazi ambao hawakumpa mama yangu mirathi yake. Je, napaswa kuwaunga?
Jibu: Ndio. Waunge ingawa wanakufanyia vibaya. Watendee wema ijapo wamekufanyia vibaya. Tekeleza wajibu wako – na wao wanapaswa kutekeleza wajibu wao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 01/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket