Swali: Wale wanaotumika hii leo katika jumuiya za kheri wanazingatiwa ni katika wenye kuitumikia zakaah…
Jibu: Wenye kuitumikia zakaah ni wale walioteuliwa na mtawala. Watu hawa hawakuteuliwa na mtawala. Wamejiteua wao wenyewe au hizo jumuiya. Hawaingii katika wenye kuitumikia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 12/10/2019
Swali: Wale wanaotumika hii leo katika jumuiya za kheri wanazingatiwa ni katika wenye kuitumikia zakaah…
Jibu: Wenye kuitumikia zakaah ni wale walioteuliwa na mtawala. Watu hawa hawakuteuliwa na mtawala. Wamejiteua wao wenyewe au hizo jumuiya. Hawaingii katika wenye kuitumikia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 12/10/2019
https://firqatunnajia.com/wafanyakazi-wa-mataasisi-wapewe-sehemu-ya-zakaah/