Swali: Je, inajuzu kuwataja kwa majina na kuwatahadharisha wale wenye kulingania kwenye migomo na maandamano?
Jibu: Ikiwa una uhakika juu ya jambo lako na kwamba wanasababisha fitina basi ieleze mahakama kuhusu wao. Ieleze mahakama kuhusu wao. Haya ni mambo ya siri na hayatakiwi kuenezwa namna hii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)