Swali: Je, inajuzu kuwataja kwa majina na kuwatahadharisha wale wenye kulingania kwenye migomo na maandamano?
Jibu: Ikiwa una uhakika juu ya jambo lako na kwamba wanasababisha fitina basi ieleze mahakama kuhusu wao. Ieleze mahakama kuhusu wao. Haya ni mambo ya siri na hayatakiwi kuenezwa namna hii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Swali: Je, inajuzu kuwataja kwa majina na kuwatahadharisha wale wenye kulingania kwenye migomo na maandamano?
Jibu: Ikiwa una uhakika juu ya jambo lako na kwamba wanasababisha fitina basi ieleze mahakama kuhusu wao. Ieleze mahakama kuhusu wao. Haya ni mambo ya siri na hayatakiwi kuenezwa namna hii.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Waswiyyat-un-Nabiy http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 07/07/2018
https://firqatunnajia.com/waeleze-mahakama-kuhusu-wanaoita-katika-migomo-na-maandamano/